Kinjeketile

Kinjeketile

Ebrahim N. Hussain
5.0 / 3.0
0 comments
Насколько вам понравилась эта книга?
Какого качества скаченный файл?
Скачайте книгу, чтобы оценить ее качество
Какого качества скаченные файлы?

Watanzania wanavikumbuka sana vita vya Maji Maji

baina ya Watanzania na Wajerumani katika mwanzo. ji |

wa karne hii. Damu ya Watanzania iliyomwagika

katika vita hivyo ilikuwa wino ghali ulioandikia |

kurasa za historia. Watanzania walikufa kwa maeli

Walikufa kwa sababu Wajerumani walikuwa na sila:

bora, na walikufa kwa sababu waliamini kuwa risasi ,

Wajerumani hazitawadhuru. Imani hii ilitiwa mioyo...

mwao na mganga aliyekuwa akiitwa Kinjeketie.

Mchezo huu uliotungwa na Hussein unafasiri vita |

hivyo na kutupa undani wa vitendo vilivyosabarisha j ;

mauti ya maelfu ya watu. MA

Kinjeketile aliwapa watu maji—alama ya umoja, n:

ya mauti, na roho ya mapenzi. Aliyaambia makabil'

yaungane na yajitayarishe kupambana na Wajeruman: ji

Chini ya Kinjeketile watu wakawa kitu kimoja, tayari 1 ha

kuingia vitani. Wakangoja amri kutoka kwa Kinjeke

kuanza vita. Amri haikutoka. Watu wakajiuliza: ;

“Tunangoja nini? Maji tunayo. Hongo yupo

kwetu' n.k. Katika vumbi la shangwe na imani, vita ;

vikaanzwa. MA

Picha juu ya jalada la mbele: C. Mallywanga ali.

cheza mahali pa Kinjeketile katika mchezo wa kwanza |

uliochezwa Chuo Kikuu, Dar es Salaam. hi

(Picha imepigwa na R.A. Payne| 

Категории:
Год:
1969
Издательство:
Oxford University Press
Язык:
swahili
Серия:
New Drama from Africa 4
Файл:
PDF, 2.60 MB
IPFS:
CID , CID Blake2b
swahili, 1969
Читать Онлайн
Выполняется конвертация в
Конвертация в не удалась

Ключевые слова